LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 15, 2014

CCM YAZIDI KUIMARIKA NA KUAMINIKA

  • Wananchi wengi wana imani kubwa na CCM
  • Watambua ni Chama pekee chenye viongozi wasikivu na wenye ushirikiano
  • Ziara za Katibu Mkuu wa CCM zazidi kukiimarisha chama na kuongeza idadi ya wanachama
  • Ushirikiano kati ya watumishi na watendaji wa serikali na Chama Cha Mapinduzi wazidi kuimarika .
 
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisoma ujumbe ulioandikwa na wanakijiji cha Mnyagala ambao waliusimamisha msafara wake na kumpa ujumbe wa kero yao ya kutokuwa na barabara na zahanati.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wakazi wa kijiji cha Mnyagala wilayani Mpanda na kuwapa majibu namna ambavyo kero zao zitaisha kwa utaratibu ambao Serikali,Mbunge na wananchi hao watashirikiana kumaliza hizo kero kwa makubaliano na uataratibu uliowekwa baina ya Vijiji na serikali mkoani Katavi.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasikiliza wananchi wa kijiji cha Ikaka kata ya Nyagungu  ambao walikuwa wanaomba kujengewa shule karibu kwani sule iliyopo ipo mbali na makazi yao.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages