LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 22, 2014

KINANA AITEKA LINDI MJINI

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Lindi mjini kwenye uwanja wa Ilulu wilaya ya Lindi mjini.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Lindi mjini ambapo aliwaambia CCM inasimamia uwajibikaji na kama mtu amekosea awajibike na akishindwa atawajibishwa mapema.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Lindi mjini ambapo aliwaambia wananchi hao CCM ni chama pekee chenye mfumo ulioanzia chini hivyo watu waache unyonge Serikali hii ni ya CCM.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapa pongezi vijana Lindi waliojiunga na UVCCM mkoa wa Lindi kwenye uwanja wa michezo wa Ilulu wilaya ya Lindi mjini mkoa Lindi.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Lindi mjini kwenye uwanja wa michezo wa Ilulu wilaya ya Lindi mjini ambapo aliwaambia wananchi wa Lindi ni muda wa kuwaondoa wapinzani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwezi Desemba mwaka huu kwa kuipigia kura CCM.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisoma Katiba iliyopendekezwa kwa wananchi wa Lindi mjini kuwapa elimu wananchi juu ya mambo ya msingi hasa maadili katika Katiba iliyopendekezwa .

 Mkuu wa wilaya ya Lindi Nassoro Ally Hamidi akihutubia wananchi wa Lindi kwenye mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kwenye uwanja wa michezo wa Ilulu mkoani Lindi.
Wafanyabiashara ndogo ndogo wakiuza bidhaa zao za vyakula wakati wa mkutano wa CCM kwenye uwanja wa Ilulu.
  Balozi Abdul Mohamed akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM kwenye shina lake namba 2 Rahaleo wilaya ya Lindi mkoani Lindi
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa shina namba mbili kwa Balozi Abdul Mohamed wa Raha leo ,wilaya ya Lindi mkoani Lindi.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (kushoto) akiwa ameketi chini na wanachama wa shina namba 2 Raha leo kwa Balozi Abdul Mohamed  wilaya ya Lindi mjini.
 Katibu Mkuu wa CCM akipandisha bendera ya CCM kwenye Shina la wakereketwa la Wanya Kahawa  Lindi.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimia wanachama wa shina la CCM la Wanywa Kahawa Lindi.
 Hii ndio ilivyokuwa mitaa ya Lindi.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki uvuvi kwenye mradi wa ufugaji samaki wa ASM Trading 2005 mradi ambao umetoa ajira kwa vijana 10 wa manispaa ya Lindi.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na viongozi wa dini wa mkoa wa Lindi alipotembelea mradi wa ufugaji samaki wa ASM Trading 2005 mradi ambao umetoa ajira kwa vijana 10 wa Manispaa ya Lindi,
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishirikiana na viongozi wa CCM wilaya ya Lindi mjini pamoja na wananchi kubeba zege kwa ajili ya kuweka zege ya nyumba ya Mwalimu wa shule ya msingi Nanyanje.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki palizikatika shamba la kikundi cha kuzalisha mbegu bora ya mihogo Chikonji wilaya ya Lindi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kuchimba mtaro wa maji kijiji cha Mnazi Mmoja mkoani Lindi

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages