LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 29, 2015

KINANA AZURU KABURI LA DK.OMAR ALI JUMA


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa na viongozi wengine wa CCM na ndugu wa aliyekuwa Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hayati Dk.Omar Ali Juma wakiomba dua kwenye kaburi lake lililopo Wawi Mchekeni, Chake Chake ,Pemba
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitia sahihi kitabu cha wageni kwenye kaburi la hayati Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hayati Dk.Omar Ali Juma  lililopo Wawi Mchekeni, Chake Chake ,Pemba
Kaburi la aliyekuwa Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ,Hayati Dk.Omari Ali Juma aliyefariki tarehe 4 Julai 2001
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (kulia) akiwa na Sheikh  Ali Abdala Ali pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Vuai Ali Vuai , Balozi Ali Karume(kushoto) wakizungumza baada ya kuzuru kabuli la aliyekuwa Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hayati Dk.Omar Ali Juma wakiomba dua kwenye kaburi lake lililopo Wawi Mchekeni, Chake Chake ,Pemba

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages