LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 29, 2015

RAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI MAJENGO YA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI UFARANSA JIJINI PARIS



  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua rasmi majengo ya
ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa yaliyoko jijini Paris Jumatano
jioni Januari 28, 2015. Pamoja naye ni Mama Sallma Kikwete, Waziri wa
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Mbunge wa
Jimbo la Kikwajuni Mhe Hamad Msauni na Balozi wa Tanzania nchini
Ufaransa Mhe Mhe Begum Taj

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na wafanyakazi wa
ubalozi baada ya kufungua rasmi majengo ya ubalozi wa Tanzania nchini
Ufaransa yaliyoko jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015. Pamoja
naye ni Mama Sallma Kikwete, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Kimataifa Mhe Bernard Membe, Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Mhe Hamad
Msauni na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa Mhe Mhe Begum Taj.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mwakilishi wa
ubalozi wa Uganda nchini  Uraransa baada ya kufungua rasmi majengo ya
ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa yaliyoko jijini Paris Jumatano
jioni Januari 28, 2015. Katikati Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa
Mhe Begum Taj. Ubalozi wa Tanzania ulikuwa katika majengo ya ubaloizi
wa Uganda  kabla ya New Zealand  kuiuizia anzania majengo hayo ambayo
ya ghorofa tano ya ofisi pamoja na jengo lingine la makazi ya balozi
na maafisa wa ubalozi.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua na kuweka saini kitabu
cha wageni  baada ya kufungua rasmi majengo ya ubalozi wa Tanzania
nchini Ufaransa yaliyoko jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015.
Katikati Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa  Mhe Begum Taj. New
Zealand ndiyo iliyoiuzia Tanzania majengo hayo ambayo ya ghorofa tano
ya ofisi pamoja na jengo lingine la makazi ya balozi na maafisa wa
ubalozi.


No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages